Katika kuadhimisha Juma la Nyaraka , Taasisi ya Nyaraka na Kumbukumbu Zanzibar imeandaa maonesho madogo ya nyaraka za kisheria ikiwa ni sehemu ya shughuli za kuadhimisha Juma la Nyaraka Duniani 2026. Akizungumza katika ufunguzi wa maonesho hayo, Mgeni Rasmi, Prof. Mohammed Hafidh, amesema kuwa Taasisi imefanya jambo muhimu kwa kuandaa maonesho hayo yenye lengo la kuitangaza Taasisi kwa jamii na...